Mawasiliano ya simu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
 
Mstari 1:
'''Mawasiliano ya simu''' ''([[tafsiri]] ya [[Kiing.Kiingereza]]-[[Kigiriki]] "telecommunication" kutoka Kigir.Kigiriki ''tele'' "mbali" Kiing.na Kiingereza ''communication'' "kupeana habari, mawasilianiomawasiliano")'' ni [[kazi]] ya kupeana [[habari]] juu ya [[umbali]] tofauti na maongezi ya moja kwa moja kati ya [[watu]] walio karibu.
 
==Historia==
Zamani [[mawasiliano]] kwa umbali yalitekelezwa kwa msaada wa [[ngoma]] maalumu, [[alama]] za [[moto]] kutoka [[Mlima|mlimani]] au alama za [[moshi]] zilizoonekana kwa mbali. Katika [[historia]] ya [[Ulaya]] au [[Asia]] kuna pia mifano ya [[semafori]] au heliografi ([[kioo]] cha kuakisisha [[nuru]] ya [[jua]], kilichowekwa juu ya [[mnara]] au mlima). Inawezakana kutaja hapa pia nyaraka zilizosafirishwa kwa njia ya wakimbiaji au kwa watume waliopanda farasi.
 
Inawezakana kutaja hapa pia [[nyaraka]] zilizosafirishwa kwa njia ya wakimbiaji au kwa watu waliopanda [[farasi]].
Tangu karne ya 19 mitambo inayotumia umeme imechukua nafasi hii kama vile [[simu]], [[televisheni]], [[redio]] au [[intaneti]].
 
Tangu [[karne ya 19]] [[mtambo|mitambo]] inayotumia [[umeme]] imechukua nafasi hiihiyo kama vile [[simu]], [[televisheni]], [[redio]] au [[intaneti]].
{{stub}}
 
{{tech-stub}}
 
[[Jamii:Mawasiliano]]