Abidjan : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
+video |
dNo edit summary |
||
Mstari 14:
}}
[[Picha:AbidjanLogo.svg|left|80px]]
[[Picha:Abidjan Plateau.jpg|thumb|260px|right|Eneo la Plateau na wangwa wakati wa usiku]]▼
'''Abidjan''' ni mji mkubwa nchini [[Cote d'Ivoire]] pia ni [[mji mkuu]] hali halisi. Vilevile ni bandari kuu ya nchi kwenye [[Ghuba ya Guinea]] ya [[bahari]] ya [[Atlantiki]]. Abidjan haiko baharini moja kwa moja lakini kwenye [[wangwa]] ya Ebrie inayotengwa na bahari kwa kanda nyembamba ya mchanga.
Line 20 ⟶ 19:
Kuna viwanda vya ngozi, nguo, vyakula na mafuta.
[[
Abidjan ilikuwa kijiji tu hadi mwaka 1904. Wakati ule iliteuliwa kuwa mwanzo wa [[reli]] ya kuelekea ndani. Reli ilianzishwa hapa kwa sababu ng'ambo ya wangwa ilikuwepo bandari ndogo ya Port-Bouët. Tangu reli kujengwa Abidjan ilikua haraka. Mwaka 1934 ilitangazwa kuwa mji mkuu wa koloni ya [[Kifaransa]] Cote d'Ivoire.
|