Binadamu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 20:
[[File:Homo-Stammbaum, Version Stringer-en.svg|420px|thumb|[[Mchoro]] wa [[uenezi]] wa [[jenasi]] ''Homo'' katika miaka [[milioni]] [[mbili]] ya mwisho. [[Rangi]] ya [[samawati]] Inaonyesha uwepo wa [[spishi]] fulani [[wakati]] na [[mahali]] fulani.<ref>{{cite journal | last=Stringer | first=C. | title=What makes a modern human | journal=Nature | year=2012 | volume=485 | issue=7396 | pages=33–35 | doi=10.1038/485033a | pmid=22552077}}</ref>]]
[[File:Homo sapiens dispersal routes.jpg|thumb|450x450px|Ramani ya uenezi wa binadamu ([ka] inamaanisha miaka elfu).]]
'''Binadamu''' (pia '''mwanadamu''') ni [[neno]] lenye [[asili]] ya [[Kiarabu]] linalomaanisha "[[Mwana]] wa [[Adamu]]", anayeaminiwa na [[dini]] za [[Uyahudi]], [[Ukristo]] na [[Uislamu]] kuwa ndiye [[mtu]] wa kwanza.
== Binadamu kadiri ya sayansi ==
[[Sayansi|Kisayansi]] [[jina]] hilo linaweza kutumika kwa maana ya ''Homo sapiens'' ili kumtofautisha na
Watu wote walioko leo hii ni [[spishi]] ileile na tofauti zinazoonekana kati ya [[maumbile]] yao katika sehemu mbalimbali za [[dunia]] ni
[[Utafiti]] juu ya [[DNA]] umethibitisha kwamba binadamu wote wametokana na watu waliokuwepo [[Afrika]] walau miaka 300,000 hivi iliyopita.
Kwa namna ya pekee, [[upimaji]] wa [[DNA ya mviringo]], ambayo kila mmoja anarithi kwa [[mama]] tu,
Halafu upimaji wa [[kromosomu Y]], ambayo kila [[mwanamume]] anarithi kwa [[baba]] tu,
Hata hivyo, miaka hii ya mwisho imegundulika katika baadhi ya wanaume wenye [[asili]] ya [[makabila]] ya [[Wabangwa]] na [[Wambo]] ([[Camerun]], [[Afrika ya Kati]]) aina ya kromosomu Y tofauti sana na ile ya wanaume wengine wote waliowahi kupimwa, kiasi cha kukadiria
Vilevile, upimaji wa [[DNA ya mstari]] kwa jumla umeonyesha uwezekano wa kwamba baadhi ya binadamu wa leo, wale wasio wa
Kama hao waliweza kweli kuzaliana na [[Homo sapiens]] na kuacha [[uzao]] uliojiendeleza maana yake walikuwa [[spishi]] moja na yeye. Hapo asili ya binadamu inatakiwa kuhesabiwa ya zamani zaidi sana kuliko miaka 200,000 iliyofikiriwa kwanza<ref>Omo Kibish Formation and its neighboring sites in Ethiopia have produced some of the earliest examples of fossilised human and australopithecine remains and stone tools. [[Richard Leakey]]'s work there in 1967 found some of the oldest remains of primitive ''Homo sapiens''. Earlier believed to be around 125,000 years old, more recent research indicates they may in fact date to c.195,000 years ago. {{Cite news|url=https://www.sciencedaily.com/releases/2005/02/050223122209.htm|title=The Oldest Homo Sapiens: Fossils Push Human Emergence Back To 195,000 Years Ago|work=ScienceDaily|access-date=2018-04-13|language=en}}</ref>.
== Uenezi wa binadamu ==
Kutoka bara la Asia, watu walienea kwanza [[Australia]] na [[Ulaya]], halafu [[Amerika]] toka [[kaskazini]] hadi [[kusini]].
Hatimaye, katika [[karne ya 20]] watu walikwenda kukaa kwa [[muda]] katika bara la [[Antaktika]] kwa ajili ya utafiti.
== Upekee wake ==
Ingawa binadamu ana undugu mkubwa wa kibiolojia na [[sokwe]] na viumbe vingine, ustawi wake hauna mfano, kiasi cha kufanya wengi waamini kwamba tofauti iliyopo inadai kuelezwa kwa uwemo wa [[roho]] ndani ya [[mwili]] wake; roho ambayo [[dini]] hizo [[imani|zinasadiki]] imetiwa na [[Mungu]] moja kwa moja.
== Binadamu kadiri ya Biblia ==
|