Malkia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d wikidata interwiki |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Ethiopia empress zauditu.jpg|thumb|200px|Malkia Zauditu wa Ethiopia.]]
Lakini kuna pia malkia waliochaguliwa au kuteuliwa kwa namna
▲[[Malkia]] ni mtawala wa kike juu ya nchi katika utaratibu wa [[ufalme]]. Kwa kawaida amerithi cheo chake kutoka mzazi wake aliyekuwa [[mfalme]] au malkia pia.
▲Lakini kuna pia malkia waliochaguliwa au kuteuliwa kwa namna nyingine hasa kama mtawala aliyetangulia alikufa bila mrithi.
Mara nyingi malkia alipatikana kwa njia ya ndoa halafu alishika utawala kama mumewe mfalme mwenyewe alikufa au kugonjeka.
==Kukubaliwa au kutokubaliwa kwa mtawala wa kike==
Katika [[historia]] kuna tofauti kubwa kama nchi iliweza kukubali kutawaliwa na mwanamke. Nchi mbalimbali zilibadilisha [[sheria]] zao walipoona ya kwamba mfalme alikosa [[watoto]] [[mwanamume|wa kiume]] ilhali [[viongozi]] waliogopa matatizo ya [[uchaguzi]] wa mfalme kutoka [[familia]] nyingine.
Mfano wa tofauti
Katika [[jamii]] mbalimbali za [[Afrika]] mtawala wa kike alikubaliwa tu. Mifano mashuhuri wa malkia
==Malkia ya heshima==
Kuna pia matumizi ya kiheshima ya [[neno]] malkia kwa kumtaja [[mke]] wa mfalme hata asiposhika [[madaraka]] ya kiutawala.
==Tazama pia:==
*[[Mfalme]]
{{mbegu-sheria}}
[[Category:Cheo]]
[[Category:Siasa|*]]
|