Tobias Asser : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 22:22, 22 Juni 2006
Tobias Michael Carel Asser (28 Aprili 1838 – 29 Julai 1913) alikuwa mwanasheria kutoka nchi ya Uholanzi. Alikuwa profesa wa sheria kwenye Chuo Kikuu cha Amsterdam. Mwaka wa 1899 na tena 1907 alikuwa mwakilishi wa Uholanzi kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague. Mwaka wa 1911, pamoja na Alfred Fried alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |