Ruvu (Pwani) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 10:
| kimo =
| tawimito =
| tawimito kulia = [[Mto Mgeta]]
| tawimito kushoto = [[Mto Ngerengere]]
| mkondo =
| eneo = km² 17,700 km²
| watu =
| miji =
}}
'''Ruvu''', iliyoitwa (zamani '''Kingani''' pia,<ref>Linganisha makala "Kingani" katika [[Kamusi ya Koloni za Kijerumani]]: ''"Kingani oder Ruwu (d. i. Fluß)"'' - yaani Kingani au Ruvu (maanake mto)"</ref> ni [[mto]] wa [[Mkoa wa Morogoro]] na [[Mkoa wa Pwani]] nchini [[Tanzania]].
 
Unapokea hasa [[maji]] ya upande wa [[mashariki]] wa [[milima]] ya [[milima ya Uluguru|Uluguru]] na kuyapeleka [[Bahari Hindi]].

Ruvu hii haina uhusiano na [[mto Jipe Ruvu]] upande wa [[mkoa wa Kilimanjaro]] / [[Upare]].
 
==Beseni la mto==
Line 30 ⟶ 32:
 
==Chanzo cha maji ya Dar es Salaam==
Ruvu ya Pwani ni chanzo kikuu cha maji kwa [[Jijijiji]] la [[Dar es Salaam]]. Hili ni tatizo kwa sababu kiasi cha maji yake huzidi kupungua kutokana na uharibifu wa [[misitu]] na [[mabadiliko ya tabianchi]].<ref>[http://www.gwclim.org/presentations/session5/kalugendo.pdf Impact of climate variability on groundwater resources in Dar es Salaam, Tanzania], by Praxeda Kalugendo, Groundwater & Climate in Africa conference in Kampala (Uganda), June 2008</ref>
 
Tangu mwaka [[1958]] kiasi cha maji ya Ruvu kinapimwa kwenye [[daraja]] la [[barabara kuu]] [[A7, Tanzania|A7]] takriban [[kilomita]] 40 kabla ya [[mdomo]] wake. Kwa [[wastani]] zimepita hapa [[m³]] 61 kwa [[sekunde]]. Kiwango hiki kinabadilika sana kulingana na [[majira]] ya mvua na ya [[ukame]].
Line 108 ⟶ 110:
== Marejeo ==
<references />
 
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]