TANZAM : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[File:T1 road sign Mikumi TZ.jpg|right|thumb|TANZAM]]
'''TANZAM'''
==Sababu za kujengwa kwa TANZAM==
[[Barabara]]
Kihistoria usafiri wa nje na [[biashara]] ya Zambia isiyo na [[pwani]] vilitegemea njia zilizopita katika [[Msumbiji]] au [[Afrika Kusini]] na nchi zote mbili hazikuwa bado [[nchi huru]]. Msumbiji ilikuwa [[koloni]] la [[Ureno]] na Afrika Kusini ilitawaliwa na [[serikali]] ya [[Apartheid]].
Tanzania ilivutwa na mpango huu kwa sababu ilipinga ukoloni pia ilitarajia faida za biashara na [[Zambia]], [[Malawi]] na [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]. Inchi ilkuwa pia na haja ya kuboresha barabara zake na TANZAM inaunganisha pia nyanda za juu za kusini za Tanzania na Dar es Salaam.▼
▲Tanzania ilivutwa na mpango
== Tazam nadani ya Tanzania ==▼
TANZAM ina urefu wa [[kilomita]] 2,400 na zote zina lami. Katika Zambia huitwa ''Great North Road'' na ndani ya Tanzania ilikuwa na namba ''T1''. Siku hizi sehemu ya Dar es Salaam - Iringa huitwa [[A7, Tanzania|A7]], na sehemu ya Iringa - Mbeya - Tunduma huitwa [[A104 , Tanzania|A104]]▼
Inaanza mjini [[Dar es Salaam]] ikipita katika mikoa ya [[Pwani]], [[Morogoro]], [[Iringa]] na [[Mbeya]]. Kati ya Dar na Morogora njia inapita katika [[hifadhi ya Mikumi]].▼
▲TANZAM ina [[urefu]] wa [[kilomita]] 2,400 na zote zina lami. Katika Zambia huitwa ''Great North Road'' na ndani ya Tanzania ilikuwa na namba ''T1''. Siku hizi sehemu ya Dar es Salaam - [[Iringa]] huitwa [[A7, Tanzania|A7]], na sehemu ya Iringa - [[Mbeya]] - [[Tunduma]] huitwa [[A104
▲Inaanza mjini [[Dar es Salaam]] ikipita katika [[Mikoa ya Tanzania|mikoa]] ya [[Mkoa wa Pwani|Pwani]], [[Mkoa wa Morogoro!Morogoro]], [[Mkoa wa Iringa|Iringa]] na [[mkoa wa Mbeya|Mbeya]]. Kati ya Dar na Morogora njia inapita katika [[hifadhi ya Mikumi]].
Ndani ya Tanzania ina njiapanda 4 muhimu:
*mjini [[Chalinze]] iko chanzo ya barabara kuu inayoelekea [[Tanga]] na [[Kilimanjaro]]-[[Nairobi]]
*
*mjini [[Makambako]] kuna njiapanda ya barabara kwenda [[Songea]] inayoendelea katika hali
*
Kuanzia [[Makambako]] Tanzam inaendelea mara nyingi kando la njia ya reli ya [[TAZARA]]. ▼
▲Kuanzia [[Makambako]]
==Tanzam ndani ya Zambia==▼
Mjini [[Tunduma]] Tanzam inavuka mpaka na kuingia [[Zambia]]. Sasa ni "Great North Road" ikielekea kwenda [[Kapiri Mposhi]] kupitia [[Nakonde]] na hapa inapewa namba ''T2''. Kapiri Mposhi inajiunga na barabara kuu ya Zambia kutoka [[Lumbumbashi]] (Kongo) kwenda [[Lusaka]].▼
▲Mjini [[Tunduma]]
==Viungo vya Nje==
|