Kisonono : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Tags: Mobile edit Mobile web edit
d Masahihisho aliyefanya Sadock Salvatory Barweta (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Riccardo Riccioni
Tag: Rollback
Mstari 2:
[[Image:Gonococcal lesion on the skin PHIL 2038 lores.jpg|thumb|Dalili ya ugonjwa katika ngozi.]]
[[File:Gonococcal ophthalmia neonatorum.jpg|thumb|Dalili ya mtoto aliyezaliwa na mama mwenye kisonono.<ref>{{cite web|url=http://www.phac-aspc.gc.ca/publicat/clinic-clinique/pdf/s1c16e.pdf|title=Prophylaxis for Gonococcal and Chlamydial Ophthalmia Neonatorum ''in'' the Canadian Guide to Clinical Preventative Health Care|publisher=Public Health Agency of Canada}}</ref>]]
'''Kisonono''' au '''kisalisali''' ni [[maradhi ya zinaa]] ambayo husababishwa na [[bakteria]] zinazofahamika kisayansi kama ''Neisseria gonorrhoeae''. Bakteria hizo hushambulia [[utandotelezi]] unaozunguka [[sehemu za siri]].
 
siri]].
 
Ingawa kwa makisio maambukizi 360,000 ya kisonono huripotiwa kila mwaka nchini [[Marekani]], wataalamu wamekisia kuwa watu karibia 650,000 huambukizwa kwa mwaka. Kimataifa yanakadiriwa kuwa kati ya milioni 33 na 106 kwa mwaka. Wagonjwa ni 0.8% ya [[wanawake]] wote na 0.6% ya [[wanaume]] wote.