Mawasiliano : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Masahihisho aliyefanya 154.159.188.247 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Riccardo Riccioni
Tag: Rollback
Tags: Mobile edit Mobile web edit
Mstari 11:
 
== Mabadiliko katika mawasiliano ==
Kadiri [[wakati]] unavyopita, [[teknolojia]] imeendelea kukua na kuibua aina mpya za mawazo kuhusu mawasiliano. [[Maendeleo]] hayo ya teknolojia yalibadilisha jinsi mawasiliano yanavyofanyika. WatafitiWataf;iti wamegawanya jinsi mawasiliano yalivyobadilika katika hatua tatu.
!丿
Mabadiliko ya mwanzo: mawasiliano yay kwanza katika maandishi yalianza na [[mchoro|michoro]]. Maandishi hayo yaliandikwa kwenye [[mawe]], ambayo yalikuwa mazito mno kuhamishwakuhamishwao. Wakati huo, mawasilianomawasi liano ya maandishi hayangeweza kubebwa,, ingawa yalikuwepoyalikuwep弥o.
 
要。Mabadiliko ya pili: maandishi yalianza kufanyiwa kwenye [[karatasikhttps://id.m.wikipedia.org/wiki/ISO_8601aratasi]], ma[[vunjo]], [[udongo]], [[nta]], n.k. [[Herufi]] za [[alfabeti]] zilibuniwa, hivyo basi kuruhusu [[mfanano]] wa lugha katikak*atika ma[[eneo]] makubwa. Baada ya muda, shirika la [[uchapishaji]] la [[Gutenberg]] lilianzishwa. Gutenberg alitayarisha [[kitabu]] cha kwanza cha kuchapishwa akitumia [[mashine]] yake, na kitabu hicho kilikuwa [[Biblia]]. Maandiko hayo yaliweza kusafirishwa kwa watu wengine [[dunia]]ni ili wayaone, pia yaliweza kuhifadhiwa na kubebwa.
Mabadiliko ya mwanzo: mawasiliano ya kwanza katika maandishi yalianza na [[mchoro|michoro]]. Maandishi hayo yaliandikwa kwenye [[mawe]], ambayo yalikuwa mazito mno kuhamishwa. Wakati huo, mawasiliano ya maandishi hayangeweza kubebwa, ingawa yalikuwepo.
 
Mabadiliko ya pili: maandishi yalianza kufanyiwa kwenye [[karatasi]], ma[[vunjo]], [[udongo]], [[nta]], n.k. [[Herufi]] za [[alfabeti]] zilibuniwa, hivyo basi kuruhusu [[mfanano]] wa lugha katika ma[[eneo]] makubwa. Baada ya muda, shirika la [[uchapishaji]] la [[Gutenberg]] lilianzishwa. Gutenberg alitayarisha [[kitabu]] cha kwanza cha kuchapishwa akitumia [[mashine]] yake, na kitabu hicho kilikuwa [[Biblia]]. Maandiko hayo yaliweza kusafirishwa kwa watu wengine [[dunia]]ni ili wayaone, pia yaliweza kuhifadhiwa na kubebwa.
 
Mabadiliko ya tatu: [[taarifa]] sasa inaweza kuhamishwa kupitia ma[[wimbi]], na [[ishara za kielektroniki]].