Nge-mjeledi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
kiingereza |
Nyongeza matini |
||
Mstari 17:
** [[Typopeltinae]]
}}
'''Nge-mjeledi''' (kutoka [[Kiingereza]] [[w:Thelyphonida|whip scorpion]]) ni [[arithropodi]] wa [[oda]] [[Thelyphonida]] katika ngeli [[Arakinida|Arachnida]] wafananao na [[nge]] wa kawaida. Kama hawa wana [[mguu|miguu]] minane na [[pedipalpi]] zenye gando. Mjeledi wa jina lao ni aina ya mkia mrefu na mwembamba. Kama kawaida
Nge-mjeledi hawana [[sumu]] lakini wana [[tezi|matezi]] yanayotoa mchanganyiko wa [[asidi]] ya asetiki na asidi ya kapriliki wakisumbuliwa. Hula arithropodi wengine, pengine [[nyungunyungu]] na [[konokono uchi|makonokono uchi]] pia. Katika [[Afrika]] kuna spishi moja tu, ''Etienneus africanus'', inayotokea [[Afrika ya Magharibi]].
==Picha==
|