Mbangi-katani : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
dNo edit summary
dNo edit summary
 
Mstari 18:
'''Mbangi-katani''' au '''mkatani''' (''Cannabis sativa'') ni [[mmea]] unaokuzwa hususa kwa matumizi ya [[kiwanda|viwandani]] ya vifundiro vyake. Una ukolezi wa chini wa [[dawa ya kulevya]] [[tetrahydrocannabinol]] ([[THC]]) kuliko [[mbangi-dawa]] ulio au [[nususpishi]] (''C. sativa'' ssp. ''indica'') au [[spishi]] tofauti (''C. indica''). Mkatani una viwango vya juu vya [[cannabidiol]] (CBD), ambayo hupunguza au kuondoa athari ya THC. Uhalali wa mkatani unatofautiana sana kati ya nchi. [[Serikali]] nyingine zinasimamia ukolezi wa THC na huruhusu mkatani tu ambao unakuzwa kwa yaliyomo ya chini ya THC.
 
Mmea huu unakuzaunakua haraka sana kuliko takriban mimea yote ingine. Ulikuwa mmoja wa mimea ya kwanza kukalidiwa katika nyuzi zinazofaa [[mwaka|miaka]] 50,000 iliyopita. Inaweza kusafishwa katika vitu anuwai vya kibiashara, pamoja na [[karatasi]], [[kitambaa|vitambaa]], [[mavazi]], [[plastiki]] inayoweza kuozeshwa kwa njia ya [[biolojia|kibiolojia]] na vifaa vya kuzuia baridi.
 
Jina mkatani linagawiwa kati ya mbangi-katani na [[mkonge dume]] na vitembwe na nyuzi za spishi hizo mbili huitwa [[katani]].