Apoloni wa Sardi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Apoloni wa Sardi''' alikuwa Mkristo wa karne ya 4 aliyeuawa kwa kusulubiwa huko Ikonio (katika Uturuki wa leo) kwa s...' |
(Hakuna tofauti)
|
Toleo la sasa la 13:18, 8 Julai 2020
Apoloni wa Sardi alikuwa Mkristo wa karne ya 4 aliyeuawa kwa kusulubiwa huko Ikonio (katika Uturuki wa leo) kwa sababu ya imani yake[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |