Upepo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
File
No edit summary
 
Mstari 1:
[[File:Pieter_Kluyver_-_Boom_in_stormwind.jpg|thumb|[[Mchoro]] wa [[Pieter Kluyver]] (1816–1900[[1816]]–[[1900]]) ukionyesha upepo mkali.]]
[[Picha:Vind i vand.jpg|thumb|250px|[[Alama]] za upepo usoni kwamwa maji.]]
'''Upepo''' ni mwendo wa [[hewa]]. Husababishwa na [[joto]] la [[jua]]. Hewa ikipashwa joto na jua hupanuka huwa nyepesi na kupanda juu. Hivyo inaacha nafasi ambako hewa baridi zaidi inaingia kuchukua nafasi yake.
 
Kwa [[lugha]] ya [[metorolojia]] kuna mwendo kutoka eneo la shindikizo la juu la hewa kwa eneo lenye shindikizo duni la hewa.
 
Kuna aina nyingi za upepo. Upepo mkali huitwa [[dhoruba]]. Ikizunguka ndani yake ni [[tufani]], na tufani ikianza [[Bahari|baharini]] ni [[kimbunga]].
 
Nguvu ya upepo ilitumiwa na binadamu tangu karne nyingi kwa njia ya teknolojia mbalimbali kama vile
* [[jahazi]] na usafiri wa maji
* kuendesha mashine za kusaga nafaka
* kuendesha pampu za maji kwa [[umwagiliaji]]
 
Tangu karne ya 20 nguvu ya upepo imetumiwa pia kutengeneza [[umeme]]. Katika karne ya 21 [[umeme wa upepo]] umeanza kuwa chanzo muhimu wa nishati.
 
[[Nguvu]] ya upepo ilitumiwa na [[binadamu]] tangu [[karne]] nyingi kwa njia ya [[teknolojia]] mbalimbali kama vile
* [[jahazi]] na [[usafiri]] wa maji[[Maji|majini]]
* kuendesha [[mashine]] za kusaga [[nafaka]]
* kuendesha [[pampu]] za maji kwa [[umwagiliaji]]
 
Tangu [[karne ya 20]] nguvu ya upepo imetumiwa pia kutengeneza [[umeme]]. Katika [[karne ya 21]] [[umeme wa upepo]] umeanza kuwa chanzo muhimu wa [[nishati]].
 
{{mbegu-sayansi}}