Kakakuona : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Rudisho la picha ya asili kwa sababu ile mpya inaonyesha spishi za Asia
Mstari 2:
| rangi = #D3D3A4
| jina = Kakakuona
| picha = ManisSteppenschuppentier2.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Kakakuona-nyika
| domeni =
| himaya = [[Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
Mstari 18:
'''Kakakuona''' (kwa [[Kiingereza]]: ''pangolin'') ni [[wanyama]] wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Manidae]] ambao wamepambika na magamba na wana [[mkia]] mrefu. Wakitaka kujikinga dhidi ya wanyama [[mbuai]] wanajikunja.
 
Huishi katika [[shimo]] la [[kina]] cha hadi [[mita]] 3.5 au katika [[mti mvungu]].
 
Hula [[mchwa]] na [[sisimizi]] na pengine [[wadudu]] wengine ambao huwakamata kwa [[ulimi]] wao mrefu wenye kunata.
 
[[Kakakuona-nyika]] anapatikana [[Hifadhi ya Serengeti]] ([[Tanzania]]).
 
==Mnyama lindwa==
Huzaa kidogo sana, na hiyo imechangia kufanya wapungue mnosana. wakiwaSababu katikanyingine hatarini ya[[ushirikina]] kupoteaunaodai wanaleta bahati njema, hasa magamba yao. Ndiyo sababu nchini [[Tanzania]] wanalindwa na [[sheria]] kali hata wasikamatwe.
 
==Uwindaji haramu==
Sababu nyingine ni [[ushirikina]] unaodai wanaleta bahati njema, hasa magamba yao.
Ndiyo sababu nchini [[Tanzania]] wanalindwa na [[sheria]] kali hata wasikamatwe. Hata hivyo, kakakuona wanawindwa sana wakiwa katika hatari ya kupotea. Kwenye Desemba [[2019]] [[magazeti]] yalitoa taarifa kuwa [[uwindaji]] haramu wa kakakuona unaongezeka hasa kwa sababu wanatafutwa kwenye masoko ya [[Asia]]. Katika nchi kama [[China]] na [[Vietnam]] [[nyama]] yao hutazamwa [[chakula]] kitamu, magamba yao hutumiwa katika [[dawa]] za [[jadi]] na [[ngozi]] hutumiwa kwa [[viatu]] au [[nguo]]. Tangu kupigwa marufuku kwa [[biashara]] ya [[spishi]] za kakakuona za Asia, [[biashara]] inalenga spishi za Afrika. Mwaka 2019 [[tani]] 6 za magamba ya kakakuona zilikamatwa na [[afisa|maafisa]] wa wizara ya maliasili katika [[Mkoa wa Morogoro]].<ref>[https://www.thecitizen.co.tz/news/1840340-5386450-9w9qdp/index.html Pangolin: poachers new target], gazeti la The Citizen, Sunday December 15 2019</ref>
 
Ndiyo sababu nchini [[Tanzania]] wanalindwa na [[sheria]] kali hata wasikamatwe. Hata hivyo, kakakuona wanawindwa sana. Kwenye Desemba [[2019]] [[magazeti]] yalitoa taarifa kuwa [[uwindaji]] haramu wa kakakuona unaongezeka hasa kwa sababu wanatafutwa kwenye masoko ya [[Asia]]. Katika nchi kama [[China]] na [[Vietnam]] [[nyama]] yao hutazamwa [[chakula]] kitamu, magamba yao hutumiwa katika [[dawa]] za [[jadi]] na [[ngozi]] hutumiwa kwa [[viatu]] au [[nguo]]. Tangu kupigwa marufuku kwa [[biashara]] ya [[spishi]] za kakakuona za Asia, [[biashara]] inalenga spishi za Afrika.
 
[[Mwaka]] [[2019]] [[tani]] 6 za magamba ya kakakuona zilikamatwa na [[afisa|maafisa]] wa [[wizara]] ya [[maliasili]] katika [[Mkoa wa Morogoro]].<ref>[https://www.thecitizen.co.tz/news/1840340-5386450-9w9qdp/index.html Pangolin: poachers new target], gazeti la The Citizen, Sunday December 15 2019</ref>
 
==Spishi za Afrika==