Kinywa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Maandishi yaliyokuwepo yalichukuliwa nafasi na ''''Kinywa''' waz s * * {{mbegu-anatomia}} Jamii:Kichwa'
Tengua pitio 1117397 lililoandikwa na 2001:4C4E:1558:1600:A5A1:BABE:F4B6:4F93 (Majadiliano)
Tag: Undo
Mstari 1:
[[File:Mouth illustration-Otis Archives.jpg|thumb|Kielezo cha kinywa cha [[binadamu]]]]
'''Kinywa''' waz s
 
'''Kinywa''' ni uwazi ndani ya [[kichwa]] mwenye shughuli tofauti kwa binadamu na wanyama wengi wenye [[uti wa mgongo]].
*
*
 
* ni mahali pa kuingiza [[chakula]] mwilini hivyo ni chanzo cha [[mfumo wa mmeng'enyo wa chakula]]
* ni nafasi ya kuingiza hewa mwilini hivyo pamoja na pua ni chanzo cha mfumo wa upumuo
* ni mahali pa kutokea kwa [[sauti]] ambako sauti inayotengenezwa kooni inapokea umbo lake kwa msaada wa ulimi na midomo hivyo ni sehemu muhimu ya uwezo wetu wa kuwasiliana na wengine.
 
Kinapatikana kwa karibu wanyama wote wenye seli nyingi lakini kwa wanyama sahili kazi yake ni kuingiza chakula pekee.
 
Sehemu za kinywa cha binadamu ni pamoja na: [[jino|meno]], [[ulimi]] na [[ufizi|fizi]].