William P. Murphy : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
+image #WPWP#WPWPTZ |
|||
Mstari 1:
[[Image:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
[[picha: William P Murphy.jpg|thumbnail|right|200px|William Murphy]]
'''William Parry Murphy''' ([[6 Februari]] [[1892]] – [[9 Oktoba]] [[1987]]) alikuwa daktari kutoka nchi ya [[Marekani]]. Hasa anajulikana kwa kuchunguza na kutibu upungufu wa damu. Mwaka wa [[1934]], pamoja na [[George Minot]] na [[George Whipple]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Tiba]]'''.
|