Uvimbe wa ubongo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d #WPWP,#WPWPTZ
No edit summary
 
Mstari 1:
[[Picha:Granulomatous amoebic encephalitis (2).png|thumb|Picha inayo onyeshainayoonyesha uvimbe kwenyekatika ubongo.]]
'''Uvimbe wa ubongo''' (kwa [[Kiingereza]] ''encephalitis'') ni [[ugonjwa]] ambao husababisha [[ubongo]] kuvimba ghafla. Kwa kawaida husababishwa na [[virusi]], [[bakteria]] ( kwa [[Kiingereza]] ''Granulomatous amoebic encephalitis'')<ref>https://www.cdc.gov/parasites/acanthamoeba/index.html</ref>, au vijidudu vingine. Kadiri ubongo unavyovimba, huweza kuharibiwa wakati unapokwaruzana na [[fuvu]].
 
Uvimbe wa ubongo unaweza kusababisha [[dalili]] hatarishi kama vile kupata [[kifafa]] na [[kiharusi]], na hii inaweza kuwa mbaya zaidi.
Mstari 7:
 
== Ishara na dalili ==
Kwa kawaida, [[watu wazima]] wenye ugonjwa wa uvimbe wa ubongo wana [[homa]] inayoanza ghafla, [[maumivu]] ya [[kichwa]], kuchanganyikiwa, na wakati mwingine [[kifafa]]. [[Watoto]] wadogo au watoto wachanga wanaweza kuwa na [[hasira]], hawataki kula, na hupatwa na [[homa]].
 
Kwa kawaida wagonjwa huwa wanachoka sana au wanachanganyikiwa.
 
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-tiba}}