Alfredo Di Stefano : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
+image#WPWP |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Alfredo Di Stefano.jpg|thumb|246x246px|Alfredo Di Stefano.]]
[[Picha:
'''Alfredo Di Stefano''' ([[4 Julai]] [[1926]] - [[7 Julai]] [[2014]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[timu ya taifa]] ya [[Argentina]] na [[timu]] ya [[klabu]] ya [[Real Madrid]] aliyecheza katika nafasi ya [[mshambuliaji]].
Alifanikiwa kuchukua [[tuzo]] ya [[Ballon d'Or]] mara [[mbili]] mwaka [[1957]] na mwaka [[1959]], pia alipigwa [[kura]] na kuwa mtu wa nne katika kura za [[mchezaji bora]] wa [[karne ya 20]] nyuma ya [[Pele]], [[Diego Maradona]] na [[Johan Cruyff]].
Alifariki kwa [[ugonjwa wa moyo]].
|