Maangamizi makuu dhidi ya Wayahudi wa Ulaya : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 68:
== Mwisho wa makambi ==
Mauaji katika makambi yalisimamishwa kwa sababu jeshi la Ujerumani lilianza kushindwa vitani likarudi nyuma. Jeshi la Umoja wa Kisoveyti likakaribia makambi ya mauti wakati wa majira ya baridi ya 1944/45. Wakuu wa SS walijaribu kuficha matendo yao ilivyowezekana.
Wayahudi wachache walibaki au kurudi tena Poland au Ujerumani wangi waliondoka ama kwenda Marekani au nchi mpya ya Israel.
== Tanbihi==
|