Raimond Aumann : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
#WPWP#WPWPTZ
Mstari 1:
[[picha:Raimond Aumann.jpg|thumbnail|right|200px|Raimond Aumann]]
 
'''Raimond Aumann''' (amezaliwa [[12 Oktoba]] [[1963]]) alikuwa mchezaji wa [[mpira wa miguu]] kutoka nchini [[Ujerumani]]. Alikuwa golikipa wa [[Bundesliga]] kati ya mwaka 1982 na 1994. Kwa miaka miwili ya mwanzo alikuwa golikipa msaidizi wa [[FC Bayern Munich]] (wa kwanza kuchaguliwa alikuwa Bw. [[Jean-Marie Pfaff]]).