Daniel Tsui : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 36 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q202138 (translate me)
#WPWP#WPWPTZ
 
Mstari 1:
[[Picha:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
[[picha:Daniel Chee Tsui.jpg|thumbnail|right|200px|Daniel Tsui]]
 
'''Daniel Chee Tsui''' (amezaliwa [[28 Februari]] [[1939]]) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya [[Marekani]] akiwa amezaliwa nchini [[China]]. Hasa anajulikana kwa kugundua kanuni fulani ya kifizikia (kwa Kiingereza: ''quantum Hall effect''). Mwaka wa [[1998]], pamoja na [[Robert Laughlin]] na [[Horst Störmer]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]]'''.