Msaada:Picha : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
'''Picha''' zinapendezesha
Ujue ya kwamba tunatumia
==Viungo vya picha==
Picha au michoro huonekana katika makala kwa njia ya viungo. Ili picha ionekane lazima kwanza faili yake iwepo katika kumbukumbu ya
:1) kutumia akiba kubwa sana ya faili za picha huria zilizopo tayari katika kumbukumbu ya '''sw.wikipedia.org''' au '''commons.wikimedia.org''' au
:2) kupakia faili ya picha kutoka [[kompyuta]] yako. Kwa kupakia unaingiza picha
[[Picha:Coat of arms of Tanzania.svg|thumb|200px|Nembo ya Tanzania 250px <br /><sup>maandishi ya kiungo chake ni <br /><nowiki>Picha:Coat of arms of Tanzania.svg|thumb|200px|Nembo ya Tanzania 250px</nowiki></sup>]]
Mstari 20:
[[Picha:Coat of arms of Tanzania.svg|thumb|150px|left|<small><nowiki>Tofauti hapa ni yafuatayo: thumb|100px|left| inayopeleka picha upande mwingine</nowiki></small>]]
:'''4''' sehemu 4 '''MAELEZO''': Kama unaandika maelezo jinsi unavyopenda lakini usiandike maelezo marefu mno!
====Picha upande wa kushoto====
Mfumo wa "thumb" unaweka picha upande wa kulia. Ukitaka ionekane upande wa kushota uningiza "'''left|'''" kama sehemu ya 5 ndani ya maandishi ya kiungo kabla ya maelezo.
====
Wakati mwingine inafaa kuingiza
Hapa tunatumia alama hizi (unaweza
'''<source lang="xml">
<gallery>
Line 41 ⟶ 40:
==Wapi kupata picha==
===Picha za
Yaliyomo yote
====Katika makala nyingine====
Ukiona picha kwenye makala
::#Bofya "hariri"
::#Tafuta kiungo cha picha unayotaka; nakili kiungo chote (au jina la picha pekee pamoja na nyongeza kama vile ".jpg")
Line 53 ⟶ 52:
====Katika makala za en:wikipedia====
Watumiaji wengi watachungulia pia
::#Picha kutoka Commons.wikimedia: hii ni kumbukumbu kubwa sana ya [[wikimedia]] na jina la faili hapa inasomeka katika miradi yote ya wikimedia pamoja na wikipedia pia kwetu.
::#Picha inayopatikana katika wikipedia ya Kiingereza tu. Picha hii haitaonesha mpaka umeichukua na kuingiza katika wikipedia yetu.
Line 69 ⟶ 68:
:#hapa angalia chini kabisa utaona kasanduku inayosema Categories (mfano wetu: Categories: Coats of arms of Tanzania | Fire and containers in heraldry .....). Hapa unaingia na utaona mifano mingine (kama ipo).
===Picha kutoka nje ya
Hapa lazima kuwa
====Kutoka google-search?====
'''Hapana!''' Kwa kawaida picha zinazopatikana kwa njia ya
====Mali ya umma
Angalia ukurasa huu katika en:wikipedia wanapoorodhesha picha ambazo zimekuwa mali ya umma:
[http://en.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:Public_domain_image_resources Public Domain Image resources]
====Picha zangu?====
Hii ni sawa kama hakuna haki za wale wanaoonyeshwa kwenye picha hii (au haki ya kile
Lakini tahadhari: usishangae ukiulizwa tena - maswali yale hayawezi kuelezwa hapa katika mistari miwili!
Line 87 ⟶ 86:
*Tahadhari: kuhusu majengo, sanamu, au kazi za sanaa kwa jumla (angalia hapa [[:Commons:Freedom_of_panorama]]; sheria za Tanzania bara, Zanzibar, Uganda na Kenya zinatofautiana, angalia [[:Commons:Copyright_rules_by_territory/Tanzania]], [[:Commons:Copyright_rules_by_territory/Kenya]], n.k.
===Kupakia
Baada ya kuhakikisha ya kwamba picha uliochagua ni halali kuingizwa katika wikipedia unahitaji kuipakiza ("upload").
Kabla ya kuipakiza utahifadhi picha kwenye kompyuta yako. Huwezi kuchukua picha kutoka intaneti moja kwa moja na kuipeleka wikipedia.
Line 99 ⟶ 98:
::#Kwenye nafasi ya muhtasari weka anwani asilia ya faili kwa mfano "Kutoka <nowiki>http://en.wikipedia.org/wiki/Image:Coat_of_arms_of_Tanzania.svg</nowiki>. Kama umeswahilisha ramani n.k. ongeza "imebadilishwa na user: JINA LAKO". Kama ni picha uliopiga mwenyewe taja tarehe na mahali pa picha, mengine soma juu!
::#Ingiza kiungo kwa jamii ya picha katika mstari mpya kwenye nafasi ya muhtasari. Chagua jamii husika ukianza kuchungulia kwenye '''<nowiki>[[Jamii:Picha za Wikipedia]]</nowiki>'''. Weka jina la jamii katika mabano mraba jinsi ilivyo mbele kwa Jamii:Picha za Wikipedia.
::#Mwishowe bofya "
[[Jamii:Msaada]]
|