Siasa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
No edit summary
Mstari 1:
[[picha:ElezioneMilano.jpg|thumbnail|right|200pax|Kampeni za kisiasa nchini [[Italia]].]]
'''Siasa''' ni njia ya kufanya [[maamuzi]] katika ngazi mbalimbali za [[taifajamii]], kama vile [[mji]], [[taifa]], au hata [[dunia]] nzima ([[siasa ya kimatatifa]]).
 
Sehemu muhimu ya siasa ni [[majadiliano]] kati ya [[watu]] mbalimbali wenye [[nguvu]] au [[mamlaka]].
 
Katika [[demokrasia]] kila mtu ana kiasi fulani cha nguvu, kwa hiyo siasa ya demokrasia ina maana ya watu wote kuchangia maamuzi.
 
Hapa chini, mifumo mbalimbali ya kisiasa huelezwa kifupi:
 
==Utawala wa Kifalme==
ni mfumo wa uongozi unaompa mamlaka ya [[dola]] na ya [[serikali]] [[Mfalme]]. Katika mfumo huu [[madaraka]] hurithiwa na mtu wa [[familia]] ya kifalme.
 
==Utawala wa Kiimla==
ni mfumo wa uongozi unaotoa madaraka yasiyo na mipaka kwa [[kiongozi]]. Katika utawala huu watu binafsi hawana [[haki]] na [[uhuru]] katika maamuzi.
 
==Utawala finyu==
ni mfumo unaowapa wachache kati ya wengi nguvu za maamuzi katika dola na serikali. Nafasi ya wachache hawa hutokana na [[haiba]] na [[uwezo]] wao ki[[uchumi]], ki[[jamii]], ki[[jeshi]] au kutokana na mafanikio yao katika nyanja mbalimbali za maisha. Mfumo huu ni nadra sana siku za hivi karibuni. Pia waweza kuitwa utawala wa ma[[kabaila]].
 
==Utawala wa Umma==
ni utawala unaotokana na jamii kuamua misingi ya kujiongoza, hivyo unatoa fursa ya madaraka kwa [[umma]] moja kwa moja au kutokana na kuwakilishwa. Mfumo huu wa utawala hujulikana kama Utawala wa Kidemokrasiademokrasia na umegawanyika katika sehemu nne.zifuatazo:
===Demokrasia Chama===
ni aina ya demokrasia ya kura. Inashirikisha watu wote kuwa wanachama.
 
===Demokrasia Baguzi===
ni aina ya Demokrasiademokrasia inayojikita katika kulinda nguvu za kiuchumi zaidi.
===Demokrasia Duni===
ni aina ya demokrasia inayotokana na makundi ya watu na kisha kupitia makundi hayo watu kuunda serikali mfano: [[chama]] - serikali.
Line 25 ⟶ 28:
ni aina ya demokrasia inayotoa [[fursa]] ya [[usawa]] na kupinga ma[[tabaka]] katika jamii.
===Demokrasia Shirikishi===
katika aina hii ya Demokrasiademokrasia wachache hupewa [[dhamana]] na wengi katika [[uwakilishi]] wa jamii katika maamuzi.
 
Wachache huchaguliwa na wengi kwa njia ya Demokrasiademokrasia huru na haki kwa kufuata Katiba ya nchi hiyo. Mfano: Wa[[bunge]] uwakilishahuwakilisha wananchi wao katika kuleta maendeleo na kuishauri serikali juu ya maendeleo ya nchi.
 
==Demokrasia==
ni mfumo unatoa fursa ya madaraka kwa [[umma]] moja kwa moja au kutokana na kuwakilishwa.
{{Sayansi}}
{{mbegu-siasa}}