Tetemeko la ardhi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 31:
 
===Maelezo ya ndani zaidi===
Ili kufahamu sababu hiyo ya matetemeko ya ardhi, inabidi kufahamu mambo yanayoendelea chini ya ardhi. Kwanza ni lazima kufikiria muundo wa [[SuniaDunia]]. Dunia ina umbo la [[tufe]] kubwa. Umbali uliopo baina ya pande mbili za dunia ni kilomita elfu kumi na tatu hivi. Katika sehemu ya nje ya Dunia, ardhi ni thabiti (ngumu). Kwa nje Dunia ina gamba la mwamba mgumu. Gamba hilo lina unene unaofikia baina ya kilomita kumi na kilomita hamsini.
 
Kama ungeweza kusafiri chini ya ardhi, yaani kuvuka gamba hilo, ungeona kwamba mazingira ni tofauti sana. Chini ya gamba la nje unafika katika "koti yala dunia", na hapahuko yote ni mwamba na chuma katika hali ya joto kali. Hivyo mwamba na chuma ndani ya Dunia si imara bali umeyeyuka, kama matope joto (inayoitwa [[zaha]]) yanayotoka nje ya [[volkeno]] wakati wa [[Mlipuko wa volkeno|mlipuko]].
 
Hali ya [[magma|mwamba huo ulioyeyuka wenye joto mno]] ndani ya dunia unafanana na hali ya sufuria ya maji ya kuchemka. Katika sufuria tunaona mwendo fulani, na tukiweka jani kwenye maji tunaona jinsi linavyozunguka pamoja na maji ambayo yanachemka. Maana ndani ya kiowevu kinachochemka kuna mwendo. Mwendo kama huo unapatikana pia kwenye mwamba ulioyeyuka ndani ya Dunia. Hivyo gamba la nje linaathiriwa na mikondo ndani ya mwamba ulioyeyuka, na mikondo yake. Kwa sababu ya kusukumwa, gamba huvunjika. Kwa hiyo badala ya pande moja zima la gamba, kuna baadhi ya [[Bamba la gandunia|mapande makubwa ya gamba]] yanayosogezwa yakiwa na kani kubwa.
Mstari 217:
* http://earthquake.usgs.gov/activity/past.html
* http://www.emsc-csem.org/#2 European-Mediterranean Seismological Centre
{{mbegu-sayansi}}
 
[[Jamii:Tetemeko la ardhi]]
[[Jamii:Maafa asilia]]