Kiborloni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Kiboriloni''' ni [[kata]] ya [[Moshi Mjini]] katika [[Mkoa wa Kilimanjaro]], [[Tanzania]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''25113'''<ref>https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode</ref>.
Wakati wa [[sensa]] iliyofanyika [[mwaka]] wa [[2012]], kata ilikuwa na wakazi wapatao 9,206 <ref>[http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf Sensa ya 2012, Kilimanjaro - Moshi MC]</ref> walioishi humo. Wananchi wa kata hii wanajishughulisha na [[biashara]] ndogondogo kama uuzaji wa [[Mboga|mbogamboga]] na [[matunda]] na pia wanajishughulisha na [[zao]] la [[ndizi]]. [[Makabila]] yafuatayo yanapatikana katika kata hiyo: [[Wachagga]], [[Wapare]], na mengineo mengi.
==Marejeo== ▼
Ndani ya kata hii ya Kiboriloni kuna [[ikulu]] ndogo ambayo [[Rais]] huwa anaitumia kwa ajili ya mapumziko akiwa na ziara katika Mkoa wa Kilimanjaro.
▲==Marejeo==
{{marejeo}}
{{Kata za Wilaya ya Moshi Mjini}}
|