Tambarare ya Uhindi Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Indo-Gangetic Plain.png|250px|thumb|Maeneo ya tambarare ya Uhindi Kaskazini.]]
[[Picha:Indo-Gangetic_Plain.jpg|thumb|200x200px|
'''Tambarare ya Uhindi Kaskazini''' ni eneo kubwa
Tambarare hiyo imesababishwa na [[mito]] miwili ya [[Indus]] na [[Ganges]] na ina [[kilomita za mraba]] [[milioni]] 2.5<ref>{{cite book|author1=Taneja, Garima|author2=Pal, Barun Deb|author3=Joshi, Pramod Kumar|author4=Aggarwal, Pramod K. |author5=Tyagi, N. K.|title=Farmers preferences for climate-smart agriculture: An assessment in the Indo-Gangetic Plain|url=https://books.google.com/books?id=_45iAwAAQBAJ|year=2014|publisher=Intl Food Policy Res Inst|page=2}}</ref>. Inakaliwa na [[watu]] [[bilioni]] 1 yaani sehemu ya [[Saba (namba)|saba]] ya watu wote [[duniani]].
Tambarare yote imegawiwa katika beseni ya mito miwili: maji upande wa magharibi huelekwa kwenda mto Indus na upande wa mashariki kuelekea mto wa Ganges. ▼
▲Tambarare yote imegawiwa katika
Tambarare hiyo inapokea maji yake kutoka milima ya Himalaya hasa; mito hii imetelemka pamoja na matope yaliyojenga tabaka nene la ardhi yenye rutba. Hivyo ni eneo linalofaa kwa kilimo hasa cha [[mpunga]] na [[ngano]] kinacholisha idadi kubwa ya watu. ▼
▲Tambarare hiyo inapokea maji yake kutoka milima ya Himalaya hasa; mito
Katika historia ya binadamu ilikuwa kati ya maeneo ya kwanza ambako milki na utamaduni wa miji zilianzishwa zilizowezsha kuwepo kwa wataalamu walioweka misingi ya sanaa na elimu ya juu.<ref name="CIA World Factbook - India">{{cite web|url = https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/in.html|title = India|publisher = CIA – The World Factbook|accessdate = 14 December 2007|url-status = live|archiveurl = https://web.archive.org/web/20080611033144/https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/in.html|archivedate = 11 June 2008}}</ref>▼
▲Katika [[historia]] ya [[binadamu]] ilikuwa kati ya maeneo ya kwanza ambako [[milki]] na [[utamaduni]] wa [[miji]]
==Marejeo==
<references/>
{{mbegu-jio-Asia}}
[[Jamii:Jiografia ya Bangladesh]]
[[Jamii:Jiografia ya Nepal]]
[[Jamii:Jiografia ya Uhindi]]
[[Jamii:Jiografia
|