Majadiliano ya Wikipedia:Wakabidhi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Nimetoa maoni yangu kuhusu Wakabidhi
Mstari 40:
::Niko nawe, ChriKo. Bado ninapenda kuendelea na kazi yangu. Mfano juzi tu, niliongeza idadi ya '''onyo''' katika makala kwa ufutaji dropdown menu! Laiti kama nisingekuwa na haki hiyo, basi ingebaki historia!--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>''''Muddyb Mwanaharakati''''</sub></font>]]</span> <font face="Comic Sans MS">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>''''Longa''''</sup></font>]] 06:06, 25 Agosti 2020 (UTC)
:::Baba Tabita aliniandikia baruapepe (kwa Kijerumani) akiomba tumwondoe katika orodha ya wakabidhi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:06, 31 Agosti 2020 (UTC)
::::Habarini ndugu wakabidhi wenzangu.Nami pia nakubali kuendelea na ukabidhi.Nampongeza [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] kwa kuendesha zoezi hili vizuri.Zaidi ya hayo nakubaliana na mapendekezo ya Kipala kuhusu kusitisha au kufuta wakabidhi kwa sababu ni mapendekezo ambayo hayajambana sana mtu, iwapo hakuwepo kwa mwaka mmoja kwa sababu mbalimbali, bado ana nafasi ya kuomba kurudi. Mwisho niwapongeze wakabidhi wote kwa kazi kubwa mnayoifanya ili kuijenga Wikipedia ya Kiswahili. Asanteni.--'''[[Mtumiaji:Jadnapac|Jadnapac]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jadnapac|majadiliano]])''' 13:06, 4 Septemba 2020 (UTC)
Return to the project page "Wakabidhi".