Mfereji wa Suez : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 20:
 
== Umuhimu wa mfereji wa Suez ==
[[Picha:Suez njia baharini.png|thumb|Njia za usafiri baharini kabla na baada ya kupatikana kwa Mfereji wa Suez]]
Mfereji umeharakisha na kurahisisha usafiri kati ya Ulaya, Asia na Afrika ya Mashariki. Zipatao meli 15,000 zinapita kwenye mfereji kila mwaka.