Mfereji wa Suez : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:USS Bainbridge (CGN-25) underway in the Suez Canal on 27 February 1992.jpg|thumb|250px|[[Manowari]] ikipita katika Mfereji wa Taabah Rafah Straights.]]
[[Picha:SuezCanal-EO.JPG|thumb|250px|Mfereji wa Suez kutoka angani kati ya [[Mediteranea]] (juu) na [[Bahari ya Shamu]] (chini).]]
'''Mfereji wa Suez''' (kwa [[Kiarabu]]: قناة السويس, ''qanā as-suways'') ni [[mfereji]] mubwamkubwa nchini [[Misri]].
 
'''Mfereji wa Suez''' ([[Kiarabu]]: قناة السويس, ''qanā as-suways'') ni mfereji mubwa nchini [[Misri]].
 
== Mahali pake ==
Unaunganisha [[Bahari ya Mediteranea]] na [[Bahari ya Shamu]], hivyo na [[Bahari Hindi]] pia.
 
Mfereji uko upande wa magaribi[[magharibi]] yawa [[rasi ya Sinai]]. [[Urefu]] wake ni 163 [[km]] 163 na [[upana]] ni kuanzia 300m[[mita]] 300.
 
Unaanza [[Mji|mjini]] [[Port Said]] (''Būr Sa'īd'') upande wa [[Mediteranea]] na kuishia mjini [[Suez]] (''al-Suways'') upande wa Bahari ya Shamu.
 
== Historia ==
IlijengwaUlijengwa na [[kampuni]] ya Kifaransa kati ya miaka [[1859]] na [[1869]] na kampuni ya kifaransa.
 
Kuna mifereji mbalimbali iliyotangulia hapahuko kuanzia [[karne ya 14 KK]] hadi wakati wa [[Waarabu]] katika [[karne ya 8]] [[BK]]. Lakini yote haikudumu kwa sababu ya matatizo ya kuondoa [[mchanga]] mara kwa mara kwa mitambo iliyopatikana zamani. Tena katika mifereji ya zamani ilikuwa [[serikali]] ya MIsriMisri tu iliyotaka kurahisisha [[usafiri]] na ubebaji wa [[mzigo|mizigo]].
 
Tangu kupatikana kwa [[meli]] yaza kisasa [[idadi]] ya meli kati ya [[Ulaya]] na [[Asia]] iliongezeka sana katika kare[[karne ya 19]]. Zote zilipaswa kuzunguka [[Afrika]] yote au kuondoa mizigo na [[abiria]] upande wa mediteraneaMediteranea na kuyasafirisha yotekuwasafirisha hadi Suez. Hivyo ilikuwa jitihada ya kimataifa yaliyoleta mfereji wa kisasa.
 
Meli ya kwanza ilipitailipitia mfereji mpya tar.[[tarehe]] [[17 Februari]] [[1867]]. Mtungaji[[Mtunzi]] wa [[muziki]] [[Giuseppe Verdi]] aliandika [[opera]] yake [[Aida]] hasa kwa nafasi hiihiyo.
 
== Umuhimu wa mfereji wa Suez ==
[[Picha:Suez njia baharini.png|thumb|Njia za usafiri baharini kabla na baada ya kupatikana kwa Mfereji wa Suez]]
Mfereji wa Suez unafupisha [[umbali]] wa [[safari]] ya meli kati ya Ulaya na Asia kwa kilomita 8,000 hivi; kwa mfano safari baina ya [[Rotterdam]] ([[bandari]] kubwa ya Ulaya) na [[Dubai]] ni takriban kilomita 20,900 na [[siku]] 24 kwa njia ya kuzungkakuzunguka Afrika; kupitia Mfereji wa Suez ni kilomita 12,000 na siku 12 pekee.<ref>{{Cite web|url= http://www.worldshipping.org/pdf/suez-canal-presentation.pdf| title= The Suez Canal - A vital shortcut for global commerce|publisher= [[World Shipping Council]] }}</ref>
Mfereji umeharakisha na kurahisisha usafiri kati ya Ulaya, Asia na [[Afrika ya Mashariki]]. Zipatao meli 15,000 zinapita kwenye mfereji kila [[mwaka]].
 
Mafanikio ya mfereji wa Suez yalihamasisha mianzo ya [[Mfereji wa Panama]].
 
== Kutaifishwa kwa mfereji 1956 ==
Mfereji ulikuwa [[mali]] ya Compagnie universelle du canal maritime de Suez au ampunikampuni ya mfereji wa Suez na [[hisa]] zake zilikuwa mkononimikononi mwa serikali za [[Ufaransa]] na [[Uingereza]].
 
Mwaka [[1956]] serikali ya Misri chini ya [[rais]] [[Gamal Abdel Nasser]] ilitaifisha mfereji na tendo hilihilo likasababisha [[vita ya Suez ya 1956]] ambako Uingereza, Ufaransa na [[Israel]] zililazimishwa na [[mataifa]] makubwa kujiondoa katika Misri baada ya uvamizi wao.
 
[[Jamii:Jiografia]]