Visiwa vya Shetland : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 3:
'''Shetland''' (au '''Visiwa vya Shetland''') ni [[funguvisiwa]] upande wa [[kaskazini]] ya [[Uskoti]] (Scotland). Inahesabiwa kuwa sehemu ya Uskoti.
[[Visiwa]] vya Shetland viko [[Bahari|baharini]] kati ya [[Visiwa vya Faroe]] na [[Visiwa vya Orkney]]. Kwa jumla kuna visiwa 100 na kati yake 16 vinakaliwa na [[watu]]
Funguvisiwa
==Eneo==
Visiwa vikubwa zaidi huitwa Mainland, [[Yell]], [[Unst]], [[Fetlar]], [[Whalsay]] na [[Bressay]].
[[Tabianchi]] ni [[nusu aktiki]] na si [[baridi]] sana kutokana na athira ya [[mkondo wa ghuba]]. Eneo la nchi kavu ni [[km²]] 1,426 na [[theluthi]] [[mbili]] zake ni eneo la [[kisiwa cha Mainland]]. [[Makao makuu]] ya [[utawala]] na [[mji]] mkubwa ni [[Lerwick]]. Mji wa pili inaitwa [[Scalloway]] na hii ni pia [[kitovu]] cha [[Historia|kihistoria]].
Line 15 ⟶ 17:
==Uchumi==
[[Uchumi]] wa visiwa unategemea [[uvuvi]], [[kilimo]] na hasa [[ufugaji]] wa [[kondoo]].
[[Mwaka]] [[1969]] [[mafuta ya petroli]] yaligunduliwa yakawa chanzo kipya cha mapato.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-jio-Ulaya}}
[[Category:Uskoti| ]]
[[Jamii:
|