Davido : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
d Masahihisho aliyefanya 197.210.29.89 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Kaizenify
Tag: Rollback
Mstari 1:
{{Infobox Musical artist|thumb|Jina la kuzaliwa=[[David Adedeji Adeleke]https://setup.com.ng/]|Img=Davido performing at the Lagos city Marathon gala 2020 10 27 05 793000.jpeg|Amezaliwa=[[Novemba 21]], [[1992]]|Miaka ya kazi=[[2010]]-sasa| tovuti=[[https://setupwww.mrtechsite.com/2019/09/wordpress-or-blogger-which-one-is-best.nghtml/ www.iamdavido.com]]}}
 
'''[https://setup.com.ng/ David Adedeji Adeleke]''' (anajulikana sana kwa jina la '''Davido'''; amezaliwa [[Novemba 21]], [[1992]]) ni [[mwanamuziki]] wa [[Nigeria]], mwandishi na mtayarishaji wa [[nyimbo]].
 
Alizaliwa [[Atlanta]] na kulelewa [[Lagos]]. Davido alianza muziki akiwa kama mmoja wa waimbaji katika kikundi cha muziki kijulikanacho kama KB International. Alisomea usimamizi wa [[biashara]] katika chuo kikuu cha Oakwood. Davido alianza kupata umaarufu pale alipoachia [[nyimbo]] yake ijulikanayo kama Dami Duro ambayo ilikua ni nyimbo ya pili kutoka kwenye albamu yake kutoka katika studio yake ya kwanza iliyoitwa Omo Baba Olowo mnamo mwaka [[2012]]. Albamu hiyo ilikuwa na nyimbo sita alizozipa majina "Back When", "Ekuro", "Overseas", "All of You", "Gbon Gbon", na "Feel Alright".