Mlimbo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa mpya |
dNo edit summary |
||
Mstari 5:
[[Picha:Euphorbia cuneata ies.jpg|thumb|left|250px|Mlimbolimbo (''[[Euphorbia cuneata]]'')]]
[[Picha:Mystroxylon aethiopicum 2020-02-08 7123.jpg|thumb|250px|Mlimbolimbo (''[[Cassine aethiopica]]'']]
'''Mlimbo''', '''mrimbo''' na '''mlimbolimbo''' ni majina yanayotumika kwa [[mti|miti]], [[kichaka|vichaka]] na [[mtambaa|mitambaa]] inayotoa
Hapo awali jina mlimbo lilitumika kwa spishi kadhaa za mitambaa kama zile za [[jenasi]] ''[[Landolphia]]'' na ''[[Saba]]''. Utomvu wenye kunata wa [[mmea|mimea]] hii mara nyingi ulitumika kukamata [[ndege (mnyama)|ndege]] wadogo hadi wa ukubwa wastani. Ni vivyo hivyo kwa spishi fulani za ''[[Euphorbia]]'' zinazoitwa mlimbolimbo, k.m. ''[[Euphorbia cuneata|E. cuneata]]''. Walakini, ulimbo uliotengenezwa kutoka kwa mlimbolimbo mwingine, ''[[Cassine aethiopica]]", unaandaliwa kutoka kwa [[jani|majani]] yake.
|