Rukwa (ziwa) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 12:
}}
'''Ziwa Rukwa''' ni ziwa kubwa la [[Ziwa la Magadi|magadi]] nchini [[Tanzania]]. Liko upande wa kusini magharibi ya nchi karibu na [[Zambia]] kati ya [[Ziwa Tanganyika]] na [[Ziwa
Uenezaji wa ziwa hubadilika mara kwa mara kufuatana na idadi ya mvua inayonyesha katika beseni yake.
==Jiografia==
Ziwa liko kwa kimo cha mita 800 juu ya UB katika bonde ambalo ni mkono wa [[Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki]]. Bonde hili ni sehemu ya kusini ya mkono wa magharibi wa bonde hili na mikono yote miwili inaungana huko Mbeya kabla ya kuendelea kwa pamoja katika Ziwa
Beseni ya ziwa line eneo la takriban 80,000 [[km²]]. Urefu na upana wake hubadilikabadilika kulingana na kiasi cha mvua
<ref>[http://concise.britannica.com/ebc/article-9377298/Lake-Rukwa Britannica.com: Lake Rukwa]</ref>.
|