Mangwair : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
[[Image:Mangwair.jpg|right|thumb|MangairMangwair a.k.a Mimi]][[Image:Ngwair_2.jpg|right|thumb|MangairMangwair a.k.a Cow Boy]]
'''Albert Mangwair''' a.k.a Mimi a.k.a Ngwair ni msanii wa Hip Hop ya Bongo kutoka mkoani [[Dodoma]]. Hivi sasa anaishi jijini [[Dar es Salaam]], [[Tanzania ]]ambako ndiko alikokutana na Mtayarishaji mahiri wa muziki [[P Funk]] na kuanza kufanya naye kazi. Hiyo ilikuwa ni mwaka 2003 ambapo alitoa kibao cha kwanza kiitwacho 'Gheto Langu,' nyimbo ilimpatia umaarufu mkubwa. Mangwair pia aliwahi kushinda tuzo ya [[Kilimanjaro Music Awards]] kama mwana Hip Hop Bora wa mwaka 2005.
Mwaka wa 2007 akatokea kwa wimbo wa kimya kimya akiwa na wana chemba.Katika Kimya Kimya anapagawisha.
 
 
 
[== Headline text ==
 
* '''1''' Ghetto Langu ([[2003]])
* '''2''' Napokea Simu ft. [[Dully Sykes]] ([[2004]])
* '''3''' Mikasi ft. [[Mchizi Mox]], [[Rah P]], [[Ferooz]], [[P Funk]],([[2005]
 
 
* '''4''' She Got Gwan ft. [[Dark Master]] ([[2005]])
* '''5''' Mtoto wa Jah Kaya ( [[2006]] )