Kireno : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
LUGHA,HISTORIA,UKOLONI
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Map-Lusophone World-en.png|thumb|right|400px|Nchi penye Kireno kama lugha rasmi]]
'''Kireno''' (''Português'' - tamka "purtuGESH") ni [[lugha za Kirumi|lugha ya Kirumi]] inazungumunzwainayozungumzwa nchini za Africa Kusini, [[Ureno]] na ([[Brazil]]). Imekuwa [[lugha]] ya kimataifa kutokana na [[historia]]Kusini yamwa [[ukoloniAfrika]] ya [[Ureno]] yenye [[wasemaji wa lugha ya kwanza]] milioni 190, pamoja na [[wasemaji wa lugha ya pili]] kuna watu milioni 200 duniani wanaoelewana kwa Kireno.
 
Imekuwa [[lugha ya kimataifa]] kutokana na [[historia]] ya [[ukoloni]] ya [[Ureno]] ikiwa na wasemaji wa [[lugha ya kwanza]] [[milioni]] 210-215; pamoja na wasemaji wa [[lugha ya pili]] kuna [[watu]] milioni 270 [[duniani]] wanaoelewana kwa Kireno, hivyo ni lugha ya 5 au ya 6.
Kutokana na historia ya ukoloni Kireno limepatikana katika nchi zifuatazo:
 
Kutokana na historia ya ukoloni Kireno limepatikanakimepatikana katika nchi zifuatazo:
=== Kireno kama lugha rasmi: ===
 
Ulaya, Africa na Amerika.
 
=== Kireno kama lugha rasmi: ===
* [[Ureno]]
* [[Brazil]]
Line 17 ⟶ 16:
* [[Timor ya Mashariki]]
 
===Lugha Kieneoya =kieneo==
* [[Makau]] (mkoa wa [[Uchina]])
* [[Goa]] (mkoa wa [[India]])
 
== Historia ya lugha ==
Kireno ni moja kati ya [[lugha za Kirumi]] maana yake kimetokana na [[Kilatini]] cha [[Dola la Roma]] lililotawala eneo la Ureno kwa [[karne]] nyingi.
 
Ni karibu hasa na [[Kigalicia]] kinachozungumzwa katika [[Hispania]] ya [[Kaskazini]].
 
Wareno waliacha lugha yao katika kolonimakoloni zaoyao. Leo hii [[idadi]] ya wasemaji katika Ureno ni milioni 10 tu - idadi kubwa kabisa wako nje ya Ureno, hasa Brazil.
 
UrenoKireno ilisambaakilisambaa zaidi katika [[karne ya 20]] kwa sababu Wareno waliondoka Ureno kutafuta [[kazi]] katika nchi nyingi za [[Ulaya]]. Vilevile kuna Wabrazil na Waangola waliotoka kwao kuhamia penginepo wakienda na lugha yao.
 
==Viungo vya nje==