Kireno : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
LUGHA,HISTORIA,UKOLONI |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Map-Lusophone World-en.png|thumb|right|400px|Nchi penye Kireno kama lugha rasmi]]
'''Kireno''' (''Português'' - tamka "purtuGESH") ni [[lugha za Kirumi|lugha ya Kirumi]]
Imekuwa [[lugha ya kimataifa]] kutokana na [[historia]] ya [[ukoloni]] ya [[Ureno]] ikiwa na wasemaji wa [[lugha ya kwanza]] [[milioni]] 210-215; pamoja na wasemaji wa [[lugha ya pili]] kuna [[watu]] milioni 270 [[duniani]] wanaoelewana kwa Kireno, hivyo ni lugha ya 5 au ya 6.
Kutokana na historia ya ukoloni Kireno limepatikana katika nchi zifuatazo: ▼
=== Kireno kama lugha rasmi: ===▼
* [[Ureno]]
* [[Brazil]]
Line 17 ⟶ 16:
* [[Timor ya Mashariki]]
==
* [[Makau]] (mkoa wa [[Uchina]])
* [[Goa]] (mkoa wa [[India]])
== Historia ya lugha ==
Kireno ni moja kati ya [[lugha za Kirumi]] maana yake kimetokana na [[Kilatini]] cha [[Dola la Roma]] lililotawala eneo la Ureno kwa [[karne]] nyingi.
Ni karibu hasa na [[Kigalicia]] kinachozungumzwa katika [[Hispania]] ya [[Kaskazini]].
Wareno waliacha lugha yao katika
==Viungo vya nje==
|