Propaganda : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Removing Teheran_US_embassy_propaganda_statue_of_liberty.jpg, it has been deleted from Commons by Jcb because: per [[:c:Commons:Deletion requests/Files in Category:Anti-Americ
Removing Guerre_14-18-Humour-L'ingordo,_trop_dur-1915.JPG, it has been deleted from Commons by Pi.1415926535 because: per [[:c:Commons:Deletion requests/Images of Eugen
Mstari 1:
[[Picha:Guerre 14-18-Humour-L'ingordo, trop dur-1915.JPG|thumbnail|Propaganda ya Kifaransa wakati wa Vita Kuu ya Kwanza: Mwanajeshi Mjerumani anajaribu kumeza dunia yote]]
'''Propaganda''' ([[lat.]] ''propagare'' kueneza) ni jitihada ya kuathiri mawazo na maoni katika jamii kwenda mwelekeo unaotakiwa na wenye propaganda. Inafanana na njia zinazotumiwa kwa matangazo ya kiuchumi yanayolenga kuuza bidhaa fulani au kusambaza mafundisho ya kidini lakini eneo la propaganda ni kisiasa. Kwa hiyo mara nyingi sehemu muhimu ya propaganda ni kuchora picha baya ya wapinzani au maadui.