Teodari : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Teodari''' (alifariki karibu na Vienne, Ufaransa, 575 hivi) alikuwa mmonaki mfuasi wa Sesari wa Arles ambaye alimweka kuwa mwombezi na mu...' |
(Hakuna tofauti)
|
Toleo la sasa la 11:24, 28 Oktoba 2020
Teodari (alifariki karibu na Vienne, Ufaransa, 575 hivi) alikuwa mmonaki mfuasi wa Sesari wa Arles ambaye alimweka kuwa mwombezi na muungamishi wa waumini wa jimbo lake[1]
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |