Kwera : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Nyongeza picha
Nyongeza jina la Kiswahili
Mstari 16:
* ''[[Ploceus]]'' <small>[[Georges Cuvier|Cuvier]], 1816</small>
}}
'''Kwera''' ni [[ndege (mnyama)|ndege]] wadogo wa [[jenasi]] ''[[Anaplectes]]'', ''[[Brachycope]]'' na ''[[Ploceus]]'' katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Ploceidae]]. Takriban [[spishi]] zote zinatokea [[Afrika]], lakini spishi tano zinatokea [[Asia]]. Rangi kuu ya ndege hawa ni njano, isipokuwa [[kwera kichwa-chekundu]], [[kwera michirizi]], [[kwera kahawiachekundu]] na [[kwera mweusi]]. Mara nyingi kichwa au uso ni nyeusi. Spishi bila nyeusi kichwani huitwa [[mnana]]. Spishi nyingine huitwa '''chambogo'''.
 
Ndege hawa hula [[mbegu]] hasa lakini [[mdudu|wadudu]] pia, hususa makinda. Spishi hizi hulifuma tago lao kwa majani ya manyasi na hulining'inizia kitawi. Matago yao hupatikana katika makundi makubwa. Jike huyataga [[yai|mayai]] 2-4.
Mstari 59:
* ''Ploceus nelicourvi'', [[Kwera wa Nelikurvi]] ([[w:Nelicourvi Weaver|Nelicourvi Weaver]])
* ''Ploceus nicolli'', [[Kwera wa Usambara]] ([[w:Usambara Weaver|Usambara Weaver]])
* ''Ploceus nigerrimus'', [[Kwera Mweusi]] au Chambogo ([[w:Vieillot's Black Weaver|Vieillot's Black Weaver]])
* ''Ploceus nigricollis'', [[Kwera Koo-jeusi]] ([[w:Black-necked Weaver|Black-necked Weaver]])
* ''Ploceus nigrimentus'', [[Kwera Kidevu-cheusi]] ([[w:Black-chinned Weaver|Black-chinned Weaver]])