Kiswaga Boniventura Destery : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Kiswaga Boniventura Destery'''
Amechaguliwa kuwa [[Wabunge wa Tanzania 2015|mbunge]] wa jimbo la [[Magu]] kwa miaka [[2015]] – [[2020]]. <ref>[https://www.parliament.go.tz/ Tovuti ya Bunge la Tanzania], iliangaliwa Mei 2017</ref> Amechaguliwa tena kwa mara pili kuwa Mbunge wa Jimbo la Magu
Kiswaga alipata [[elimu]] yake ya msingi katika [[Shule ya msingi|Shule ye msingi]] ya Salisima iliyoko katika Kijiji cha Lugeye, na baadaye elimu ya [[Sekondari]] katika Shule ya Sekondari ya Bulima. Baadaye alipata mafunzo ya Uongozi na Biashara katika Chuo cha Uongozi kilichopoko [[Kijitonyama]] ambapo alitunukiwa [[astashahada]] ya Uongozi na utawaka wa fedha.
Mstari 13:
Mwaka 2003-2008 alichaguliwa na kuingoza Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi '''(UVCCM)'''Wilaya ya Magu akiwa ni Mwenyekiti wa Wilaya.
2012-2017
Halafu alijitosa katika king'anyanyiro cha ubunge na kumwaga wasomi wakiwemo wahandisi na madaktari ambao walichuana naye. Na kuandika Historia ya kuwa mbunge wa nane wa Jimbo la Magu tangu lilipoanzishwa mwaka 1965.
Kiswaga
▲Kiswaga pia nje ya Siasa ni Mfanyabiashara, Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Makampuni ya '''Lugeye Investment''' na '''Lugeye Oil''' yaliko katika jiji la Mwanza.
==Marejeo==
Line 28 ⟶ 25:
[[Jamii:Bunge la Tanzania]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1994]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
|