Hifadhi ya Ruaha : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
[[picha:Purple On The River.jpg|right|thumb|400px|Hifadhi ya Ruaha]]
'''Hifadhi ya Ruaha''' iko katikati ya [[Tanzania]] umbali wa [[kilometa]] 131 [[magharibi]] kwa [[mji]] wa [[Iringa (mji)|Iringa]]. Hifadhi ya taifa ya Ruaha inaenea kwa zaidi ya [[kilomita mraba]] 20,000 za ardhi. Hivyo ni mbuga ya pili kwa ukubwa [[Tanzania]] baada ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere ([[Selous]]).
==Historia==
Hifadhi ya taifa ya Ruaha ilianzishwa
==Wanyama na mimea==
Hifadhi ya Kitaifa ya Ruaha inajulikana kwa [[idadi]] kubwa ya [[tembo]] (inakadiriwa kuwa zaidi ya 10,000) wanaokusanyika katika eneo moja kuliko eneo lingine lolote [[Afrika Mashariki]] na idadi nzuri ya wanyama
Hifadhi hii ni maarufu kwa [[wanyama]] aina ya [[kudu]] wakubwa na wadogo ambao hupatikana kwa wingi katika hifadhi. Aina mbalimbali za [[samaki]], [[viboko]], na [[mamba]] hupatikana kwa wingi katika [[mto Ruaha]]. Wanyama kama [[pofu]] na [[swala]] pala hunywa [[maji]] katika mto Ruaha ambao ni mawindo ya kudumu kwa wanyama wanaokula nyama kama [[simba]], [[chui]], [[mbweha]], [[fisi]] na [[mbwa mwitu]]. Ruaha ni sehemu nzuri ya kuona ndege kuna aina zaidi ya 500 ya ndege (wote wa msimu na wa kudumu), Hifadhi ya Kitaifa ya Ruaha ni paradiso ya utalii Hifadhi hii ina sifa ya kuwa na wanyama na [[mimea]] karibu yote inayopatikana Kusini na Mashariki mwa [[Afrika]]. Safari kwa kutumia [[Ndege (uanahewa)|ndege]] za kukodi kutoka [[Dar es Salaam]], [[Arusha]], [[Iringa]] na [[Mbeya]]. Pia kupitia barabara.
Line 28 ⟶ 35:
==Marejeo==
{{
''Majarida ya hifadhi za Taifa Tanzania''
==Viungo vya nje==
Line 34 ⟶ 42:
*[http://www.tanzaniatouristboard.com Utalii wa Tanzania]
*[http://www.planetware.com Safiri Tanzania]
*[http://www.tanzania.go.tz Maliasili
*[http://www.safariweb.com Safari za Tanzania]
{{mbegu-jio-iringa}}
|