Hifadhi ya Ruaha : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
[[picha:Purple On The River.jpg|right|thumb|400px|Hifadhi ya Ruaha]]
'''Hifadhi ya Ruaha''' iko katikati ya [[Tanzania]] umbali wa [[kilometa]] 131 [[magharibi]] kwa [[mji]] wa [[Iringa (mji)|Iringa]]. Hifadhi ya taifa ya Ruaha inaenea kwa zaidi ya [[kilomita mraba]] 20,000 za ardhi. Hivyo ni mbuga ya pili kwa ukubwa [[Tanzania]] baada ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere ([[Selous]]).
==Fahamu==
Hifadhi ya Taifa ya Ruaha ni mbuga ya pili kwa ukubwa Tanzania baada ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere (selous). '''Hifadhi ya Ruaha''' iko katikati ya [[Tanzania]] umbali wa [[kilometa]] 131 [[magharibi]] mwa mji wa Iringa. Hifadhi ya taifa ya Ruaha ina ukubwa wa eneo zaidi ya kilomita 20,000 za ardhi.
 
==Historia==
Hifadhi ya taifa ya Ruaha ilianzishwa mnamo 1910 na [[Wajerumani]] mnamo [[1910]] na mwanzoni iliitwa [[pori la akiba]] la saba. Mwishoni mwa [[miaka ya 1940]], [[Waingereza]] walichukuawaliochukua [[madaraka, na]] kuliitawaliiita pori la akiba la rungwaRungwa. Mnamo [[1964]], mwishowe iliitwa Hifadhi ya taifa ya Ruaha, baadakutokana yana [[Mto Ruaha]]. [[Jina]] la hifadhi ya Ruaha limetoholewa kwenyekutoka Rugha[[lugha]] ya kihehe[[Kihehe]] 'Ruvaha' likimaanisha 'mto', hihii inamaanisha [[mto]] [[Ruaha mkubwaMkuu]] uliopita katikati ya hifadhi na ndondio mto unaosaidia [[wanyama]] kupata [[maji]] msimumwaka mzima wa mwaka.
 
==Wanyama na mimea==
Hifadhi ya Kitaifa ya Ruaha inajulikana kwa [[idadi]] kubwa ya [[tembo]] (inakadiriwa kuwa zaidi ya 10,000) wanaokusanyika katika eneo moja kuliko eneo lingine lolote [[Afrika Mashariki]] na idadi nzuri ya wanyama wanaokula wenzao[[walanyama]]. InayojulikanaInajulikana sana, nikuwa moja ya hifadhi ambayo unaweza kuona makundi ya [[simba]] hadi simba 20. lakini piaPia ni eneo muhimu kwa [[mbwa mwitu]].

Hifadhi hii ni maarufu kwa [[wanyama]] aina ya [[kudu]] wakubwa na wadogo ambao hupatikana kwa wingi katika hifadhi. Aina mbalimbali za [[samaki]], [[viboko]], na [[mamba]] hupatikana kwa wingi katika [[mto Ruaha]]. Wanyama kama [[pofu]] na [[swala]] pala hunywa [[maji]] katika mto Ruaha ambao ni mawindo ya kudumu kwa wanyama wanaokula nyama kama [[simba]], [[chui]], [[mbweha]], [[fisi]] na [[mbwa mwitu]].

Ruaha ni sehemu nzuri ya kuona ndege kuna aina zaidi ya 500 ya ndege (wote wa msimu na wa kudumu), Hifadhi ya Kitaifa ya Ruaha ni paradiso ya utalii wa ndege wa ndege. Tena, anuwai ya ndege ni ya kushangaza, pamoja na ndege wa maji na wanyama wanaoruka kutoka kusini na kazikazinikaskazini.<ref>[https://www.zepisaafricansafaris.com/tanzania-destinations/southern-circuit/ruaha-national-park/ Ruaha National park]</ref>. Hifadhi hii inao [[idadi]] kubwa ya [[tembo]] wanaokusanyika katika eneo moja kuliko eneo lingine lolote [[Afrika Mashariki]].

Hifadhi hii ina sifa ya kuwa na wanyama na [[mimea]] karibu yote inayopatikana Kusini na Mashariki mwa [[Afrika]].
 
===Namna ya kufika===
Safari kwa kutumia [[Ndege (uanahewa)|ndege]] za kukodi kutoka [[Dar es Salaam]], [[Arusha]], [[Iringa]] na [[Mbeya]]. Pia kupitia barabara.
 
Line 28 ⟶ 35:
 
==Marejeo==
{{Marejeoreflist}}
''Majarida ya hifadhi za Taifa Tanzania''
 
==Viungo vya nje==
Line 34 ⟶ 42:
*[http://www.tanzaniatouristboard.com Utalii wa Tanzania]
*[http://www.planetware.com Safiri Tanzania]
*[http://www.tanzania.go.tz Maliasili zaTanzaniaza Tanzania]
*[http://www.safariweb.com Safari za Tanzania]
{{mbegu-jio-iringa}}