Kentauro : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
→‎Jina: kiungo
No edit summary
 
Mstari 1:
[[Picha:AC marbles.jpg|thumb|250px|Picha ya kuchongwa ya mapambano kati ya kentauro na binadamu (kutoka [[Parthenoni|hekalu ya Parthenoni]], [[Athini]])]]
[[Picha:Centaur mosaic - Google Art Project - CropFrame - Plus1ev - 28k.jpg|250px|thumb|Kentauro anayepambana na wanyama witu ([[mozaiki]] katika Villa Hadriana karibu na Roma, iliumbwa mnamo mwaka 130 BK)]]
'''Kentauro''' (pia '''kantori''', '''kantarusi''') ni [[kiumbe]] cha [[hadithi]] za [[mitholojia]] ya [[Ugiriki ya Kale]] ambacho ni [[nusu]] [[farasi]] na nusu [[binadamu]].
 
==Jina==
[[Jina]] lina [[asili]] katika [[Kigiriki]] κένταυρος ''kentauros'', kilichokuwaila limekuwa ''centaurus'' kwa [[Kilatini]] na ''centaur'' kwa [[Kiingereza]]. Jina hilihilo liliingia katika [[Kiswahili]] kupitia [[Kiarabu]] قنطور ''qantur'' au قنطورس ''qantawrus''. <ref>"Kentauro" ni [[umbo]] linalopendekezwa na [[kamusi]] ya [[KKK-ESD|KKK-ESD (2006)]], "kantarusi" ni jina la [[kundinyota]] lililorekodiwa na [[Jan Knappert|Knappert (1993)]], "kantori" ni umbo jinsi unavyotumiwalinavyotumiwa katika jina yala [[nyota]] angavu zaidi ya kundinyota.</ref>
 
==Mitholojia==
Kuna hadithi mbalimbali katika [[mitholojia ya Kigiriki]] kuhusu asili ya viumbe hao. Mojawapo ni kwamba walitokea baada ya kubakwa kwa pepo ya mawingu ya kike<ref>[https://www.theoi.com/Georgikos/KentauroiThessalioi.html Kentauroi], katika tovuti ya Theoi Greek Mythology, iliangaliwa Novemba 2020</ref>. Nyingine ilisimulia jinsi gani [[mwanaume]] alizaa kentauro na farasi.
 
[[Wanahistoria]] wanahisi kwmaba asili ya hadithi hizo ilikuwa mshtuko wa watu ambao hawakutumia farasi walipokutana mara ya kwanza na wageni waliopanda farasi ilhali walishindwa kutofautisha [[mnyama]] na binadamu.<ref>[https://onlinelibrary.wiley.com/doi/abs/10.1111/j.0022-3840.1994.2704_57.x E.A. Lawrence, The Centaur: Its History and Meaning in Human Culture], jarida la Popular Culture, Volume27, Issue4, Spring 1994, Pages 57-68</ref>
 
Kentauro walitazamiwawalitazamwa mara kama wapiganaji wakali, mara kama viumbe wenye [[hekima]] kubwa.
 
==Marejeo==