Saturnini wa Toulouse : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Saturninus vignay.jpg|275px|thumb|''Kifodini cha Mt. Saturnini'' katika [[mchoro mdogo]] wa [[karne ya 14]].]]
'''Saturnini wa Toulouse''' ([[Patras]], [[Ugiriki]], [[karne ya 3]] - [[Toulouse]], [[Galia]], leo nchini [[Ufaransa]], [[257]] hivi) alikuwa [[askofu]] wa [[Kanisa Katoliki]] katika [[mji]] huo hadi alipouawa katika [[dhuluma]] ya [[kaisari]] [[Decius]] kwa kutupwa chini kutoka [[mlima]]ni.