Vienna : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 67:
== Utamaduni ==
[[Picha:Wien - Stephansdom (1).JPG|thumb|right|200px|Kanisa Kuu la Mt. Stefano ni kati ya majengo mashuhuri ya Vienna.]]
[[Picha:Schönbrunn Blick auf Gloriette.jpg|thumb|right|200px|Bustani ya ikulu ya "Schönbrunn" kwa mtazamo wa "Gloriette"]]
Kwa karne nyingi Vienna ilikuwa mji mkuu wa dola kubwa. Wafalme na ma[[kaisari]] wa familia ya [[Habsburg]] walitawala Dola Takatifu ya Kiroma hadi 1806 na baadaye na maeneo makubwa ya Ulaya ya kusini-mashariki hadi 1918. Hivyo Vienna ina majengo mazuri inayotunza kumbukumbu ya enzi za kale sio tu mji mkuu wa Austria ndogo ya leo.
 
Watu wa Vienna hukumbuka wasanii walioishi katika mji wao kama watunga muziki [[Wolfgang Amadeus Mozart]], [[Ludwig van Beethoven]] na [[Johannes Brahms|Brahms]].
 
== Mbuga na bustani ==
[[Picha:Schönbrunn Blick auf Gloriette.jpg|thumb|right|200px|Bustani ya ikulu ya "Schönbrunn" kwa mtazamo wa "Gloriette"]]
Bustani kadhaa za shirikisho la Austria ziko Vienna.
Bustani maarufu zaidi ni Bustani ya Jumba la Schönbrunn, bustani zingine ni "Augarten", "Belvedere Garden", "Burggarten" na "Volksgarten".
 
== Viungo vya Nje ==