Nabii Nahumu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Nahum-prophet.jpg|thumb|Nabii Nahumu katika picha ya [[Waorthodoksi]] ya [[karne XVIII]].]]
'''Nabii Nahumu''' (kwa [[Kiebrania]] '''נחום''', yaani "Aliyefarijiwa na [[Mungu]]") alikuwa [[nabii]]
Mahubiri yake yanatunzwa katika ''
Kinashangilia kwa [[ufasaha]] wa [[Ushairi|kishairi]] ujio wa maangamizi ya [[dola]] la [[Waashuru]] na ya [[Makao makuu|makao yao makuu]], [[Ninawi]] ([[612 KK]]): hivyo
Kitarehe kinashika nafasi kati ya kile cha [[nabii Mika]] na kile cha [[Habakuki]].
Tangu kale Nahumu anaheshimiwa kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] 1 [[Desemba]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref><ref>https://catholicsaints.info/nahum-the-prophet/</ref>.
==Tazama pia==
Mstari 26:
*[http://www.tombofnahum.com Renovation - Al Qush Synagogue and the Tomb of Nahum]
*[http://ocafs.oca.org/FeastSaintsViewer.asp?SID=4&ID=1&FSID=103452 Prophet Nahum] Orthodox [[icon]] and [[synaxarion]]
{{mbegu-mtu-Biblia}}
{{DEFAULTSORT:Nahumu}}
[[Jamii:Waliozaliwa karne ya 7 KK]]
[[Jamii:Watu wa Biblia]]
[[Jamii:Watakatifu wa Israeli]]
|