Ustaarabu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Ustaarabu''' ni aina ya [[utamaduni]] uliyoendelea.
[[Picha:Egypt.Giza.Sphinx.02.jpg|300px|thumbnail|Ustaarabu wa [[Misri ya Kale]] ulibuni ma[[jengo]] ya [[piramidi]] miaka 5000 iliyopita.]]
Katika [[fani]] ya [[historia]] "ustaarabu" (kwa [[Kiingereza]] ''
Katika historia ustaarabu kwa maana hii ulitokea penye [[kilimo]] ambako wakulima walianza kutoa sehemu ya ma[[pato]] yao kwa mtawala au serikali fulani. Mapato hayo yalitumiwa kugharamia [[jeshi]] au [[silaha]] kwa kutetea jamii, ma[[fundi]] na [[wasanii]], [[ujenzi]] wa [[hekalu|mahekalu]], [[boma|maboma]], [[mfereji|mifereji]] ya [[umwagiliaji]] ma[[shamba]], [[ghala]] kwa mazao n.k.
|