Kigezo:Je wajua : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
+sahihisho |
Septemba 1752 |
||
Mstari 10:
{{*mp}}... kwamba '''[[Kimondo cha Mbozi]]''' ni jiwe kubwa kutoka [[anga la nje]] linaloweza kuangaliwa huko [[Mbozi]]?
{{*mp}}... kwamba '''[[Asha-Rose Mtengeti Migiro]]''' alikuwa mwanasiasa wa kwanza kutoka nchini [[Tanzania]] kuwa Naibu Katibu Mkuu wa [[Umoja wa Mataifa]]?
{{*mp}}... kwamba '''[[Calestous Juma]]''' aliaga dunia akiwa profesa wa kwanza kutoka nchini [[Kenya]] kutumikia Chuo Kikuu cha Harvard—Marekani?
{{*mp}}... kwamba '''[[1752|Septemba 1752]]''' inakosa siku kumi na moja?, Katika Dola ya Uingereza, ulikuwa mwaka pekee wenye siku 355, kwani Septemba 3-13 ilirukwa wakati Dola ilipopitisha kalenda ya Gregory.
</div>
{{-}}
|