Fatma Karume : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Added content
Tags: Reverted Mobile edit Mobile web edit
d Masahihisho aliyefanya Mmarisamenya (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na 105.161.73.59
Tags: Rollback Reverted
Mstari 1:
'''Fatma Karume''' (amezaliwa [[15 Juni]] [[1969]]) ni [[mwanasheria]] wa [[Tanzania|Kitanzania]] na [[wakili]] wa kujitegemea, [[mwanaharakati]] ambaye aliwahi kuwa [[rais]] wa [[Chama cha Wanasheria Tanganyika]] (TLS) katika kipindi cha [[mwaka]] [[2018]] hadi [[2019]]. Alipata [[wadhifa]] huo baada ya kushinda katika [[uchaguzi]] wa [[uraisi]] wa [[chama]] hicho uliofanyika [[Aprili]] [[2018]] na hivyo kumrithi mtangulizi wake [[Tundu Lissu]] aliyekiongoza chama hicho kutoka mwaka [[2017]] hadi 2018. Japo amezaliwa katika ukoo wa [[Kiislamu]] hajashikamana na [[dini]]. Amekuwa akitoa misimamo inayokinzana na mafundisho ya [[Kiislamu]]<ref>https://www.voaswahili.com/a/fatma-karume-apata-ridhaa-ya-tundu-lissu/4314328.html</ref><ref>http://parstoday.com/sw/news/africa-i43134-fatma_karume_ashinda_urais_wa_chama_cha_wanasheria_tanganyika</ref><ref>https://globalpublishers.co.tz/breaking-news-fatuma-karume-ashinda-urais-wa-tls</ref>
 
[[Katiba]] ya chama cha TLS huruhusu kuongoza kwa [[muda]] wa mwaka mmoja tu. [[Rugemeleza Nshala]] alichaguliwa katika uchaguzi huo kuwa Makamu wa Rais wa chama hicho.<ref>https://globalpublishers.co.tz/breaking-news-fatuma-karume-ashinda-urais-wa-tls</ref> Hivyo alikuwa rais wa TLS hadi mwaka 2019 Dr. Rugemeleza Nshala alipochaguliwa kuwa rais mpya<ref>{{Cite web|url=https://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/TLS-yapata-rais-mpya--asikitika-Lissu-kupigwa-risasi-mchana/1597296-5060484-10cvcecz/index.html|title=TLS yapata rais mpya, asikitika Lissu kupigwa risasi mchana|language=en|work=Mwananchi|accessdate=2019-07-11}}</ref>