BBC : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
Mstari 22:
Kwa mujibu wa BBC, lengo lake ni kutoa habari, kuelimisha, na kuburudisha. Kauli mbiu yake ni "''Nation Shall Speak Peace Unto Nation''."
 
Shirika hili linaongozwa na [[Bodi ya Magavana]] wanaochaguliwa na [[Malkia]] au [[Mfalme]] wa Uingereza kwa ushauri toka kwa mawaziri wa serikali ya Uingereza. Hata hivyo, BBC inasema katika katiba yake kuwa inafanya kazi zake bila shinikizo toka kwa wanasiasa au wafanyabiashara na kuwa linawajibika kwa wasikilizaji na watazamaji wake tu.
 
==Idhaa ya Kiswahili==