Chama cha Demokrasia na Maendeleo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
'''Chama cha Demokrasia na Maendeleo''' ([[kifupi]]: Chadema) ni [[chama cha kisiasa]] nchini [[Tanzania]] ambacho kuanzia [[mwaka]] [[2010]] kilikuwa chama kikuu cha upinzani.
 
Kilianzishwa [[tarehe]] [[28 Mei]] [[1992]] na [[mwanasiasa]] mkongwe [[Edwin Mtei]], aliyewahi kuwa [[waziri wa fedha]] katika miaka [[1977]] hadi [[1979]]. Mwaka [[2000]] chama cha Chadema hakikuwa na mgombea wa urais. Mwaka 2005 mgombea wa Chadema [[Freeman Mbowe]] alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88% za kura.
 
Mwaka [[2000]] chama cha Chadema hakikuwa na mgombea wa urais. Mwaka 2005 mgombea wa Chadema [[Freeman Mbowe]] alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.
Mwaka 2010 Chadema ilipata asilimia 27.1% na rais wa chama [[Wilbrod Peter Slaa]] na kura [[4,627,923]] kwa 31.75%.
 
Mwaka 2010 Chadema ilipata asilimia 27.1% na raismgombea urais wa chama [[Wilbrod Peter Slaa]] na kura [[4,627,923]] kwa 31.75%.
 
Hata hivyo Chadema imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
 
==Viungo vya nje==