Jeshi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 26:
 
== Jeshi la taifa ==
Jeshi la Taifa ni chombo kilichoanzishwa kisheria chenye silaha na askari wenye mafunzo ya kivita amabao kazi yao ni kupambana kivita kulinda ardhi ya nchi husika dhidi ya uvamizi kutoka nje. Nchi huwa na jeshi moja la kulinda mipaka yake dhidi ya uchokozi kutoka nje, lakini pia huwa na majeshi 'Usu' kadhaaa kwaajili ya kulinda usalaama wa ndani. kwa mfano; majeshi ya nchi ni kama [[Jeshi la Uganda, (UPDF), [[Jeshi la Tanzania TPDF nk|JeshiUlinzi la UgandaWananchi UPDF, Jeshi lawa Tanzania]] (TPDF nk]]). Majeshi Usu ni kama Polisi, Magereza, Uhamiaji, Zimamoto na TANAPA.
 
Shughuli nyingi za majeshi hutofautiana kulingana na kitengo husika cha jeshi, kwa mfano jeshi la nchi kavu,Jeshi la Anga na Jeshi la Majini, haya ndiyo matawi makuu matatu ya jeshi . Kwa historia, Jeshi la anga lilikuwa pamoja na Jeshi la ardhini, hasa kwa historia ya [[Uchina]] ama [[Jeshi la ukombozi wa umma wa Uchina]] ilichanganya (jeshi la ardhi, jeshi la majini, jeshi la anga, divisheni za makombora na usayari) kwa tawi moja.